Tuesday, September 30, 2008

MAZISHI YA MPENDWA WETU LIDYA HOZZA

Marehemu dada yetu mpendwa Lidya Hozza
Baadhi ya wanafunzi waliokuwa wakifundishwa na Mwl Lidya katika shule ya Msingi mafuriko wakiwa wamefika KUMUAGA mwalimu wao katika safari yake ya mwisho.




Mchungaji George Nywage akisoma neno la Mungu la faraja nyumbani kwa kaka wa marehemu Chumbageni flats za TRA usiku wa siku aliyofariki.

Baadhi ya waombolezaji waliofika MAKABURINI MASUGURU kOROGWE
Mchungaji G.Nywage akihubiri neno la Mungu wakati wa mazishi ya mareheme dada Lidya
Kaka wa marehemu, Martine(mwenye miwani), akiwa amesimama kwa majonzi makubwa jirani na jeneza la marehemu dada yake

Mahubiri


Mchungaji akimshukuru Mungu baada ya mazishi


Waombolezaji kutoka Tanga, na waliokuwa washirika wenza wa marehemu Lidya





Masista hawa ni dada wa marehemu Lidya wakiweka mashada,...
Wifi wa marehemu, mke wa Mr Martine akiweka shada la maua katika msalaba wa kaburi la marehemu Lidya
Mama wa marehemu akisaidiwa na mama mkubwa wa Lidya kuweka shada la maua











Kaka wa marehemu wakiweka mashada ya maua




Mchungaji wa Usharika Mlingano KKKT, Mch. Mteri akiweka shda la maua

Shangazi wa Marehemu, Lilian Ndauka akiweka shada la maua










Mchungaji Bombo wa Kanisa la Elimu Nguvumali akiongoza maombi ya shukrani
Viongozi wa wanawake WWWK wa KLPT Majani Mapana wakiwakilisha wanawake wote wa kanisa hilo kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Mwanachama wao marehemu Lidya.







Sunday, September 21, 2008

SIKU KUU YA WATOTO KANISANI.

Aston Mwakasege akishiriki kuongoza kuabudisha.
Mch. G. Nywage akihamasisha jambo mara baada ya muhubiri kumaliza mahubiri.
Baada ya muhubiri John Kitwika kualika watu mbele kwa maombezi
Viongozi wa kusifu na kuabudu kutoka kanisa la watoto wakiongoza
washirika kumwabudu Mungu
Watoto wakiongoza kuombea watu wenye mahitaji mbalimbali baada ya mahubiri


Mch. George Nywage akishiriki kufanya maombezi kwa watu wenye mahitaji.



Mchungaji Christine Nywage akiongoza maombezi kwenye ibada ya watoto.
Baada ya mahubiri, Ndugu Frank F. Makupa alisimikwa rasmi kuwa Mzee wa kanisa.
Mzee mteule, Frank Makupa akisimikwa rasmi kwa maombi.

Shaking hands with church members after the service


Watoto walitoa zawadi kwa kanisa, ambayo walitaka iwe mchango wao kwa ujenzi wa ghorofa la kanisa
Gladness Ndauka akighani ngonjera
Wazee wa kanisa wakipokea zawadi kutoka kwa watoto.
Wachungaji wakiomba baraka kwa watoto kwa utumishi mkubwa walioufanya.
''Baraka za Bwana'' kwa watoto kutoka kwa Mchungaji.



Mchungaji Christine akifafanua jambo wakati wa ibada iliyoongozwa na watoto.
wa kwanza kuja kupokea maombi kutoka kwa muhibiri







Muhubiri wa ibada iliyoongozwa na watoto, John Kitwika


Rev. Christine and George Nywage.






Kiongozi wa nyimbo za kuabudu kutoka kanisa la watoto akiongoza kuabudu siku ya watoto.


Muhubiri kazini








Watoto wakibubujika wakati wa maombi























Kiongozi wa ibada, Steven B. Mngumi
Heshima kwa Yesu
Watoto wakiongoza washirika kusujudu mbele za Bwana


Watu waliohamasika kumsifu Mungu