
Marehemu dada yetu mpendwa Lidya Hozza

Baadhi ya wanafunzi waliokuwa wakifundishwa na Mwl Lidya katika shule ya Msingi mafuriko wakiwa wamefika KUMUAGA mwalimu wao katika safari yake ya mwisho.


Mchungaji George Nywage akisoma neno la Mungu la faraja nyumbani kwa kaka wa marehemu Chumbageni flats za TRA usiku wa siku aliyofariki.

Baadhi ya waombolezaji waliofika MAKABURINI MASUGURU kOROGWE

Mchungaji G.Nywage akihubiri neno la Mungu wakati wa mazishi ya mareheme dada Lidya

Kaka wa marehemu, Martine(mwenye miwani), akiwa amesimama kwa majonzi makubwa jirani na jeneza la marehemu dada yake

Mahubiri
No comments:
Post a Comment